+255-(0)27- 297 0056 Junction of Moshi-Arusha and Nairobi Roads rector@atc.ac.tz SMS Online Application CMU

contact info

+255-(0)27- 297 0056
Junction of Moshi-Arusha and Nairobi Roads
SMS
CMU

Post Details

MAHAFALI YA 15 KWA MWAKA WA MASOMO 2022/2023

Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha (ATC) anawatangazia wahitimu, wanafunzi, watumishi, wadau na umma wote kuwa mahafali ya 15 ya Chuo cha Ufundi Arusha yatafanyika Jumatatu, tarehe 18 Desemba,2023 katika Kampasi Kuu. Majina ya wahitimu yanapatikana kwenye tovuti. Maelekezo zaidi yanapatikana pia kupitia Serikali ya wanafunzi (SOATECO). Aidha, wahitimu wote wanaombwa kuthibitisha ushiriki wao kwenye mahafali hayo kupitia anuani ya barua pepe rector@atc.ac.tz. Wahitimu wanaombwa kulipia Majoho kwa kiasi cha TZS 25,000/- kwa kutumia Control Number inayopatikana kwenye tovuti ya Chuo. Tafadhali, upatapo Taarifa hili mjulishe mwenzako. Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Masoko Chuo cha Ufundi Arusha

  Nov 09, 2023   |     Download

Other Announcements